Mahafali Ya Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Ursuline- Njombe – Nyombo- 2022

MAHAFALI YA PILI Mahafali haya yamefanyika mnamo tarehe 10/09/2022 yakipambwa kwa uzuri kabisa na mheshimiwa mama Joyce Mayemba . Mahafali yalianza kwa ibada takatifu ya misa iliyoongozwa na mheshimiwa Padre Edward Msigwa paroko wa parokia ya Matembwe. Baada ya ibada bendi ya shule ilijiandaa kikamilifu tayari kumpokea mgeni rasmi kwa ajili ya kuanza rasmi mahafali…

Mahafali Ya Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Ursuline- Njombe – Nyombo 2021

Mahafali Ya Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Ursuline- Njombe – Nyombo 2021

Mahafali Ya Kwanza Mnamo tarehe 18/09/2021 shule ya sekondari ya wasichana Ursuline inayomilikiwa na masista wa shirika la Mtakatifu Ursula wa Maria Imakulata, ilifanya mahafali yake ya kwanza ya kidato cha nne yakiongozwa na mgeni rasmi Mama Pindi Chana mbunge wa viti maalumu . Katika mahafali haya wanafunzi 27 wasichana walihitimu. Mahafali hayo yalifana sana…